Kingine kipya kwenye MOVIE Bongo mtu
wangu.. wapo walioshuhudia uzinduzi wa Movie hii uliofanyika APRIL 11
2015 maeneo ya Tegeta, DAR.. tumeona watu wengi wanalalamika kwamba
story za kwenye Bongo Movie ni kama zinajirudia rudia hivi, lakini hii
iko tofauti.
Story ya movie inahusu Daktari mmoja
kutoka Marekani anakuja zake TZ kuvolunteer kama mwezi mmoja
hivi.. kumbe hiyo ilikuwa ni mistake kwake?
Mengi yanamtokea huyu Daktari akiwa ndani ya TZ..
Kwa time yao unaweza kuingia mtaani
ukaicheki kwenye maduka ambapo inapatikana kwenye
DVD, nimeambiwa iko
pia kwenye iTunes mtandaoni.
Hapa nna PICHAZ ambazo nimekusogezea uzinduzi iliyokuwa.
Unaweza kuicheki Trailer ya Movie hiyo hapa..

No Comment to " Going BONGO’.. Movie nyingine mtaani, umeipata hii? Cheki Trailer na PICHAZ za uzinduzi wake.. "